October 22, 2010

KUWANIA UCHAGUZI MKUU OCTOBER31 MWAKA HUU

Watanzania wote tuungane katika kupiga kura ifikapo oktoba 31, tuchague kiongozi bora, mwadilifu, mzalendo tusiangalie sura , kabila, dini yake wala chama anachotoka kwa manufaa ya kuijenga Tanzania ya kesho, kura yako na yangu ndio itakayoamua kupata maisha bora au bora maisha


No comments:

Post a Comment